99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Idadi ya makontena yaliyosafirishwa kwenye Bandari ya Shanghai yachukua nafasi ya kwanza duniani kwa miaka 13 mfululizo (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 09, 2023
Idadi ya makontena yaliyosafirishwa kwenye Bandari ya Shanghai yachukua nafasi ya kwanza duniani kwa miaka 13 mfululizo
Tarehe 7, Januari, Mwaka 2023, kwenye Gati la makontena katika eneo la bandari ya maji ya kina kirefu ya Yangshan ya Shanghai nchini China, ambapo taa zote zikiwaka kote , na kazi za kupakiwa na kupakuwa kwa makontena zikifanywa kwa utaratibu.

Mwaka 2022, idadi ya makontena yaliyosafirishwa kwenye Bandari ya Shanghai imezidi milioni 47.3 na kuchukua nafasi ya kwanza duniani kwa miaka 13 mfululizo.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha