

Lugha Nyingine
Hali mbalimbai ya kuvutia kwenye gwaride la Siku ya Ushindi ya China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 04, 2025
![]() |
Vifaru vya kufanya mashambulizi ya kurusha makombora angani vikionekana kwenye gwaride la kijeshi mjini Beijing, Septemba 3, 2025. (Xinhua/Xu Yu) |
Jana Jumatano China imefanya maadhimisho ya miaka 80 tangu kupata ushindi katika Vita vya Watu wa China vya Kupambana Uvamizi wa Japan na Vita vya Dunia vya Kupinga Ufashisti mjini Beijing. Katika mkutano huo pamoja na mambo mengine, kumefanyika gwaride kubwa la kijeshi ambalo lilikaguliwa na Rais Xi Jinping, likionesha silaha mbalimbali za kisasa na za hali ya juu.
(Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma