99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Karez, “mfereji wa chini ya ardhi” wa China (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Oktoba 15, 2024
Karez, “mfereji wa chini ya ardhi” wa China
Kisima cha karez. (Picha/Zeng Shurou)

Visima vya Karez ni mradi wa kipekee wa uhifadhi wa maji na umwagiliaji chini ya ardhi mkoani Xinjiang, China, ambao unajulikana kwa jina la “Ukuta Mkuu wa maji wa chini ya ardhi" na "mfereji wa chini ya ardhi”.

Ni moja kati ya miradi mikubwa mitatu ya kale ya China sambamba na Ukuta Mkuu na Mfereji Mkuu wa Beijing-Hangzhou. Uliingizwa kwenye "Orodha ya Urithi wa Uhandisi wa Umwagiliaji wa Dunia (kundi la 11) 2024" mwezi Septemba mwaka huu.

Kuna visima vya karez zaidi ya 1,700 katika mkoa wa Xinjiang, kati ya hivyo, zaidi ya 1,200 vipo katika Mji wa Turpan, vikiwa na urefu wa jumla wa kilomita 5,272.

Theluji juu ya Mlima Tianshan baada ya kuyeyuka hutiririka kupitia visima hivyo vya karez kurutubisha Turpan, ikileta uhai kwa ardhi hiyo.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha