99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Jukwaa la Davos la Majira ya Joto kuanza katika Mji wa Tianjin, Kaskazini mwa China (5)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 26, 2023
Jukwaa la Davos la Majira ya Joto kuanza katika Mji wa Tianjin, Kaskazini mwa China
Picha hii iliyopigwa Juni 25, 2023 ikionyesha mandhari ndani ya Kituo cha Maonyesho na Mikutano cha Tianjin Meijiang, ambapo Mkutano wa 14 wa Mwaka wa Vinara Wapya wa Baraza la Davos la Majira ya Joto utafanyika hapa katika Mji wa Tianjin, Kaskazini mwa China. (Xinhua/Li Ran)

TIANJIN - Mkutano wa 14 wa Mwaka wa Vinara Wapya wa Baraza la Davos la Majira ya Joto, utafanyika katika Mji wa Tianjin, Kaskazini mwa China kuanzia Juni 27 hadi 29.

Kaulimbiu ya mkutano huo wa mwaka huu ni "Ujasiriamali: Nguvu ya Uendeshaji wa Uchumi wa Kimataifa."

Takriban viongozi 1,500 wa sekta za kiumma na za kibinafsi kutoka zaidi ya nchi 90 watakutana pamoja kwa ajili ya mkutano huo utakaofanyika kwa siku tatu.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha