

Lugha Nyingine
Volkano ya Indonesia yaendelea kulipuka
(3)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 07, 2022
![]() |
Tarehe 6, Desemba, volkanokatika Kijiji cha Sapiturang, Wilaya ya Lumajan, Mkoa wa Java Mashariki, Indonesia,watu wakibeba vitu vyao na kuondoka kutoka eneo linaloathiriwa na mlipuko wa volkano. |
Volkano ya Semeru katika Mkoa wa Java Mashariki ilianza kulipuka kuanzia alfajiri ya Tarehe 4, na nguvu ya mlipuko ulipungua kidogo tarehe 5. Lakini, tishio la maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na majivu ya volkano yaliyokutana na mvua ni kubwa zaidi, na watu zaidi ya 2,400 wamehamishwa kwa dharura. (Mpigaji picha: Bayou Novanta/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma