99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Uturuki yakamata watuhumiwa wa shambulizi la mabomu mjini Istanbul (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 15, 2022
Uturuki yakamata watuhumiwa wa shambulizi la mabomu mjini Istanbul
Tarehe 14, Novemba, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki Soylu akiweka maua ili kutoa rambirambi zake kwenye eneo la mlipuko wa mabomu kwenye Mtaa wa Istiklal karibu na Uwanja wa Taksim, katikati mwa Istanbul. (Mpiga picha: Shadati/Xinhua)

Shirika la Habari la Anadolu la Uturuki lilitoa habari ikisema kuwa waziri wa mambo ya ndani wa Uturuki Soylu aliviambia vyombo vya habari tarehe 14 kwamba watuhumiwa waliofanya shambulizi la mlipuko wa bomu katikati mwa Istanbul siku iliyopita walikamatwa na polisi.

Soylu alisema amri ya kufanya shambulizi hilo inawezekana kutolewa na Chama cha Wafanyakazi cha Kurdistan na "Kikosi cha Ulinzi wa Umma " cha jeshi la wakurdi la Syria, ambavyo vimeorodheshwa kuwa kundi la kigaidi na serikali ya Uturuki. Uturuki itachukua hatua kwa shambulio hilo.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha