Hali ya ukuaji wa “Mpunga Mkubwa” yafurahisha watu (2)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 07, 2022
![]() |
Picha hii iliyopigwa Septemba 6 ikionesha mashamba ya “Mpunga Mkubwa” katika Kijiji cha Dongbaizhuang cha Mji wa Dongjituo wa Eneo la Ninghe la Mji wa Tianjin. |
Siku za hivi karibuni, hali ya ukuaji wa “Mpunga Mkubwa” uliopandwa kwenye mashamba yenye hekta 6.67 katika Kijiji cha Dongbaizhuang cha Mji wa Dongjituo wa Eneo la Ninghe la Mji wa Tianjin inafurahisha watu.
Kwa kufahamishwa kuwa aina hii ya “Mpunga Mkubwa” ilipandwa mwishoni mwa Mwezi Mei na inatarajiwa kuvunwa Mwezi Oktoba.
(Mpiga picha: Sun Fanyue/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma