99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Rwanda yaelezea vipaumbele muhimu vya ukuaji katika ajenda ya maendeleo ya 2024-2029

(CRI Online) Agosti 14, 2025

Waziri Mkuu wa Rwanda Justin Nsengiyumva Jumanne aliwasilisha bungeni Mkakati wa pili wa Kitaifa wa Mabadiliko wa serikali, mpango wa maendeleo wa miaka mitano kuanzia mwaka 2024 hadi mwaka 2029 unaolenga kuharakisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi ya nchi.

Kwa mujibu wa Nsengiyumva, mkakati huo unaweka malengo kabambe, ikiwa ni pamoja na kuongeza tija ya kilimo kwa asilimia 50 na kuongeza mapato ya mauzo ya nje maradufu hadi dola bilioni 7.3 za Marekani.

Pia unalenga kuinua uwekezaji wa sekta binafsi hadi dola bilioni 4.6, kuongeza kiwango cha akiba ya kitaifa hadi zaidi ya asilimia 25 ya pato la taifa (GDP), na kuongeza mapato ya kila mwaka ya utalii hadi dola bilioni 1.1 ifikapo mwaka 2029.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha