99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Watalii wanaoingia China kutoka nje wazama katika wimbi la manunuzi mjini Shanghai

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 24, 2025
Watalii wanaoingia China kutoka nje wazama katika wimbi la manunuzi mjini Shanghai
Watalii kutoka Thailand wakifahamishwa kuhusu bidhaa kwenye duka la midoli ya mitindo maarufu ya kisasa kwenye Mtaa wa Nanjing mjini Shanghai, mashariki mwa China, Julai 17, 2025. (Xinhua/Chen Haoming)

China sasa inatoa msamaha wa viza wa upande mmoja kwa nchi 47 na msamaha wa visa kwa wasafiri wa nchi 55 wanaoingia China kuunganisha ndege kwenda nchi nyingine, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Mao Ning alisema Julai 11.

Kwa kuchochewa na sheria hizo za viza zilizolegezwa, kumekuwa na ongezeko kubwa la idadi ya wamiliki wa pasipoti za kigeni wanaoingia China, ikisababisha kuongezeka kwa matumizi ya watalii wanaoingia China kutoka nje.

Ukiwa umejiweka katika nafasi ya kuwa kituo cha utalii cha ngazi ya kimataifa chenye mvuto duniani, Mji wa Shanghai ulioko mashariki mwa China umeshuhudia matumizi makubwa ya watalii wanaoingia China kutoka nje katika nusu ya kwanza ya mwaka huu.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha