99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Rais wa Zambia atuma salamu za Mwaka Mpya wa Jadi wa China kwa watu wa China

(CRI Online) Januari 31, 2025

Rais wa Zambia Hakainde Hichilema ametuma salamu za Mwaka Mpya wa Jadi kwa watu wa China na kuzitakia nchi hizo mbili ustawi na mafanikio.

Rais Hichilema amesema, urafiki wa kina kati ya Zambia na China utachukua fursa ya Sikukuu hiyo kuendelea kuimarishwa.

Amesema katika kipindi cha Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China, anapenda kutoa salamu za dhati kwa watu wa China na kuzitakia nchi zote mbili mafanikio katika miaka ijayo.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha