99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Zaidi ya asilimia 94 ya Watanzania wajiandikisha kwenye daftari la wapiga kura

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Oktoba 23, 2024

Waziri wa nchi katika Ofisi ya Rais anayeshughulikia mambo ya utawala wa mikoa na serikali za mitaa wa Tanzania Bw. Mohamed Mchengerwa amesema kuanzia tarehe 11 hadi tarehe 22 Oktoba, watanzania wasiopungua 31,282,331 wamejiandikisha kwenye Daftari la Wapiga Kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba, ikiwa ni sawa na asilimia 94.83 ya Watanzania wenye haki ya kupiga kura. Kati ya Watanzania waliojiandikisha, asilimia 48.71 ni wanaume huku asilimia 51.29 ni wanawake.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mikoa yote 26 ya Tanzania imefanya kazi vizuri katika kuwaandikisha wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi huo.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Deng Jie)

Picha