99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

China yatoa wito wa juhudi zaidi katika kuboresha usimamizi wa dunia na kukabiliana na ukiukaji wa haki wa kihistoria uliofanywa kwa Bara la Afrika

(CRI Online) Oktoba 06, 2024

Mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa Balozi Fu Cong ametoa wito wa kuboresha mfumo wa usimamizi wa dunia na kushughulikia ukosefu wa haki wa kihistoria uliofanywa kwa Bara la Afrika.

Akizungumza katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu ushirikiano kati ya Shirika hilo na Umoja wa Afrika (AU), Balozi Fu amesema nchi za Afrika zimeibuka kutoka utawala wa kikoloni na kujipatia uhuru wa kitaifa, na uanachama wao umeleta mageuzi na kupanua kidhahiri ujumuishi wao katika Umoja wa Mataifa.

Balozi Fu amesema, wakati wa Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu la 79 la Umoja wa Mataifa uliofanyika wiki iliyopita, viongozi wa Afrika walitoa wito wa kuongeza kasi ya mageuzi ya mfumo wa uongozi wa kimataifa ili kuondoa ukosefu wa haki wa kihistoria ambao Afrika imeteseka nao kwa muda mrefu.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha