99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Zimbabwe kuimarisha ushirikiano wa FOCAC kwa ajili ya mambo ya kisasa

(CRI Online) Septemba 26, 2024

Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ametangaza kuwa nchi hiyo itaimarisha ushirikiano ulioanzishwa chini ya Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC), ili kuharakisha mchakato wa ujenzi wa mambo ya kisasa, mapinduzi ya viwanda na kutekeleza mageuzi ya kiuchumi yanayozingatia watu.

Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa 378 wa Chama tawala cha Zimbabwe ZANU-PF mjini Harare, Rais Mnangagwa amesema kuwa, ziara yake ya kiserikali nchini China na kushiriki katika mkutano wa FOCAC imetoa fursa ya kuimarisha uhusiano kati yake na China katika nyanja mbalimbali.

Rais Mnangagwa pia amesema licha ya kuangazia uchumi na biashara, ni muhimu kutafuta ushirikiano na China katika sekta nyingine zikiwemo michezo, utamaduni, utalii na vyombo vya habari.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha