99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Waziri Mkuu wa China ahimiza makampuni ya China na UAE kutumia vizuri fursa mpya za ushirikiano

(CRI Online) Septemba 14, 2024

Waziri Mkuu wa China Bw. Li Qiang aliyeko ziarani katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Alhamisi alitoa wito wa kutaka makampuni ya China na UAE kutumia vizuri fursa mpya za ushirikiano chini ya jitihada za pamoja za kithabiti za nchi hizi mbili.

Li alisema hayo alipohutubia Kongamano la Viwanda na Biashara la UAE na China. Alisema uhusiano kati ya China na UAE uko katika kipindi muhimu cha kihistoria, ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara kati ya nchi mbili unakaribisha fursa muhimu ya kuboreshwa. Anataka makampuni ya nchi mbili yafuate mwelekeo mkuu na kutumia fursa mpya za ushirikiano.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha