99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Mkutano wa kilele wa FOCAC wafunguliwa Beijing

(CRI Online) Septemba 05, 2024

(Xinhua/Zhai Jianlan)

(Xinhua/Zhai Jianlan)

Mkutano wa kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika FOCAC umefunguliwa leo tarehe 5 hapa Beijing, ambapo rais Xi Jinping alitoa hotuba akitangaza kuinua uhusiano kati ya China na nchi zote za Afrika zenye uhusiano wa kibalozi kwenye ngazi ya kimkakati, na uhusiano kati ya China na Afrika kwa ujumla ufikie kwenye jumuiya yenye mustakabali wa pamoja ya hali zote katika zama mpya.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha