99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Xi Jinping kuhudhuria?ufunguzi?wa Mkutano?wa Kilele?wa FOCAC wa mwaka 2024

(CRI Online) Agosti 23, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Hua Chunying leo ametangaza kuwa Rais Xi Jinping wa China atahudhuria na kuhutubia ufunguzi wa Mkutano wa Kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika FOCAC wa mwaka 2024 tarehe 5, Septemba. Katika wakati wa Mkutano huo wa kilele, Rais Xi pia atafanya tafrija ya kuwakaribisha viongozi wa nchi za Afrika, mashirika ya kikanda na kimataifa walioalikwa kuhudhuria Mkutano huo na kushiriki kwenye shughuli mbalimbali za pande mbili mbili.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha