99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

WHO yaitisha kamati ya dharura kwa ajili ya kukabiliana na kuenea kwa mpox

(CRI Online) Agosti 08, 2024

Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Bw. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema, WHO inaitisha kamati ya dharura kwa ajili ya kukabiliana na kuenea kwa mpox nje ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na uwezekano wa kuenea zaidi duniani.

Akiongea na wanahabari Jumatano mjini Geneva Tedros amesema, kamati hiyo itakutana “haraka iwezekanavyo” ili kutathmini kama mlipuko wa maradhi hayo utakuwa tukio la dharura ya afya ya umma inayohitaji ufuatiliaji kote duniani.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Renato Lu)

Picha