99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Tume ya uchaguzi ya Uganda yatangaza tarehe ya uchaguzi wa ubunge na urais wa mwaka 2026

(CRI Online) Agosti 01, 2024

Tume ya Uchaguzi ya Uganda (EC) imetoa mwongozo wa uchaguzi uliorekebishwa na kutangaza tarehe ya uchaguzi wa wabunge na rais wa mwaka 2026.

Mwenyekiti wa tume hiyo ya uchaguzi Jaji Simon Byabakama amesema kuwa uteuzi wa wagombea wa nafasi za ubunge na urais utafanyika kuanzia tarehe 17 mwezi Septemba hadi terehe 3 mwezi Oktoba mwaka 2025.

Ameongeza kuwa kampeni zitaanza wiki ya pili ya mwezi Oktoba mwakani, na zoezi la kupiga kura litafanyika tarehe 12 Januari mwaka 2026.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Renato Lu)

Picha