99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

China iko tayari kufanya juhudi endelevu kuongeza mabadilishano ya kitamaduni na maendeleo ya amani ya dunia

(CRI Online) Juni 12, 2024

Mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa uliofanyika Ijumaa mwishoni mwa wiki iliyopita umepitisha kwa kauli moja azimio lililopendekezwa na China la kuanzisha "Siku ya Kimataifa ya Mazungumzo kati ya Ustaarabu Mbalimbali" itakayoadhimishwa Juni 10 kila mwaka.

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Bw. Lin Jian amesema, China iko tayari kufanya kazi na jumuiya ya kimataifa kutekeleza kikamilifu azimio hilo na kufanya juhudi endelevu kuongeza maelewano na kufunzana kati ya ustaarabu mbalimbali na kuhimiza maendeleo ya amani duniani.

Bw. Lin pia amesema, hivi sasa, wakati mustakabali na hatma ya nchi zote ina uhusiano wa karibu, uvumilivu, kuishi pamoja, mabadilishano na kufunzana kati ya ustaarabu mbalimbali kunachukua nafasi isiyoweza kupuuzwa katika kuhimiza mchakato wa ujenzi wa mambo ya kisasa wa jamii ya binadamu na kustawisha bustani ya ustaarabu wa dunia.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha