99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Bunge la Afrika Kusini lapitisha muswada wa kusitisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel

(CRI Online) Novemba 22, 2023

Bunge la Afrika Kusini limepitisha muswada wa kusitisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel siku ya Jumanne kufuatia matokeo ya kura zilizopigwa na wabunge, ambapo kura 248 ziliunga mkono muswada huo na kura 91 ziliupinga.

Baada ya kupitisha muswada huo, Bunge hilo lilisema, muswada huo hauingilii serikali kisheria, lakini Spika ana jukumu la kuwasilisha muswada huo kwa rais na idara husika za serikali.

Hata hivyo, Jumatatu wiki hii, Baraza la Mawaziri la Afrika Kusini lilitangaza kuwa bado halijaamua iwapo litafunga Ubalozi wa Israel nchini Afrika Kusini.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha