99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Maonyesho ya CIIE ya China yatambuliwa kimataifa kwa kuendeleza maendeleo na ushirikiano

(CRI Online) Novemba 06, 2023

Maonyesho ya sita ya Kimataifa ya Uagizaji Bidhaa ya China (CIIE), yaliyoanza mjini Shanghai siku ya Jumapili yamepongezwa na viongozi na maofisa wa nchi mbalimbali kwa mchango wake wa kutoa fursa za biashara kwa kampuni za kimataifa, kuendeleza biashara na ushirikiano wa kimataifa, na pia maendeleo ya kiuchumi duniani.

Waziri Mkuu wa Australia Bw. Anthony Albanese amesema Australia na China zimenufaika kutokana na maendeleo na utulivu wa kikanda, na kuwa biashara ya bidhaa na huduma kati ya pande mbili imeongezeka karibu maradufu tangu Mkataba wa Biashara Huria kati ya China na Australia ulipoanza kutekelezwa Mwaka 2015.

Waziri Mkuu wa Cuba Bw. Manuel Marrero Cruz amesema Cuba inatilia maanani sana na inashiriki mara kwa mara katika maonesho hayo muhimu, na kusema kufanyika kwa maonesho hayo kutasaidia jumuiya ya kimataifa kuharakisha uimarikaji wa uchumi wa dunia na maendeleo ya biashara.

Viongozi wengine kutoka Kazakhstan, Serbia, Afrika Kusini na Iran pia wameyapongeza maonesho hayo.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha