99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Bolivia yatangaza kusitisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel

(CRI Online) Novemba 02, 2023

Serikali ya Bolivia imetangaza kusitisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel kufuatia mashambulizi ya Israel dhidi ya watu wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.

Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Bolivia Bibi María Prada, amesema Jumanne wiki hii, kwamba kutokana na ukiukwaji wa haki za binadamu wa Israel dhidi ya watu wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, serikali ya Bolivia imeamua kusitisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel, pia inapanga kutoa msaada wa kibinadamu kwa waathirika wa mapigano kati ya Palestina na Israel.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha