99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Benki Kuu ya Tanzania yasema ukuaji wa uchumi wa nchi hiyo uko katika mwelekeo sahihi

(CRI Online) Novemba 01, 2023

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetangaza kuwa, ukuaji wa uchumi wa nchi hiyo uko katika mwelekeo sahihi kufikia ukuaji wa asilimia 5.3 katika mwaka 2023.

Katika taarifa yake iliyotolewa Jumanne, Benki hiyo imesema ukuaji wa uchumi katika robo ya kwanza na ya pili ya mwaka huu umekuwa wa kuridhisha, ukifikia asilimia 5.4 na 5.2.

Taarifa hiyo pia imesema, uchumi wa visiwani Zanzibar umekua kwa asilimia 6.2 katika robo ya kwanza ya mwaka 2023, na unatarajiwa kufikia lengo la ukuaji la mwaka la asilimia 7.1.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha