99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Watu sita wauawa katika mlipuko wa bomu lililotegwa kando ya barabara nchini Somalia

(CRI Online) Agosti 10, 2023

Gavana wa mkoa wa Lower Shabelle nchini Somalia Bw. Mohamed Ibrahim Barre jana amethibitisha kuwa, abiria sita wakiwemo watoto watatu wameuawa na wengine 12 kujeruhiwa baada ya basi dogo la abiria walilokuwa wakisafiria kukanyaga kifaa cha mlipuko mkoani humo.

Bw. Barre amesema basi hilo lilikuwa linatokea mji wa Marka kuelekea mji wa Qoryoley, na anaamani kuwa shambulio hilo limefanywa na kundi la al-Shabaab.

Bado hakuna kundi lolote linalotangaza kuwajibika na tukio hilo.

(Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)

Picha