99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Waziri wa Mambo ya Nje wa China akutana na mkuu wa masuala ya kisiasa wa Umoja wa Mataifa

(Tovuti ya Gazeti la Umma) April 12, 2023

Waziri wa Mambo ya Nje wa China Qin Gang akikutana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Masuala ya Kisiasa na Kujenga Amani Rosemary A. DiCarlo mjini Beijing, China, Aprili 11, 2023. (Xinhua/Zhai Jianlan)

Waziri wa Mambo ya Nje wa China Qin Gang akikutana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Masuala ya Kisiasa na Kujenga Amani Rosemary A. DiCarlo mjini Beijing, China, Aprili 11, 2023. (Xinhua/Zhai Jianlan)

BEIJING - Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Qin Gang Jumanne amekutana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Masuala ya Kisiasa na Kujenga Amani Rosemary A. DiCarlo mjini Beijing.

Qin amesema, ikiwa kwa matumaini ya kujenga jumuiya ya binadamu yenye mustakabali wa pamoja, China imeshiriki kwa ukamilifu kazi za Umoja wa Mataifa, kutekeleza kwa uthabiti wajibu wake wa kimataifa, kutetea kikamilifu mshikamano na ushirikiano, na kutoa bidhaa za umma kwa Dunia.

"China itaunga mkono kithabiti Umoja wa Mataifa katika kubeba jukumu la kiujenzi katika kusukuma mbele masuala ya kimataifa na kikanda, na iko tayari kuwa mshirika wa kuaminika na wa kutegemewa wa Umoja wa Mataifa katika kudumisha amani ya Dunia na kukuza maendeleo kwa pamoja," Qin amesema.

Kwa upande wake, DiCarlo ameeleza matumaini yake kuwa Umoja wa Mataifa utaimarisha ushirikiano na China na kupendekeza kwa pamoja masuluhisho zaidi kwa masuala muhimu ya kimataifa na kikanda.?

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha