99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron awasili Beijing kwa ziara ya kiserikali

(Tovuti ya Gazeti la Umma) April 06, 2023
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron awasili Beijing kwa ziara ya kiserikali
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Beijing, China, Aprili 5, 2023. Kutokana na mwaliko wa Rais wa China Xi Jinping, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amewasili Beijing Jumatano alasiri kwa kufanya ziara ya kiserikali nchini China hadi Ijumaa. (Xinhua/Liu Bin)

Beijing – Kutokana na mwaliko wa Rais wa China Xi Jinping, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amewasili Beijing Jumatano alasiri kwa kufanya ziara ya kiserikali nchini China hadi Ijumaa.

Rais Macron pia atatembelea Guangzhou, Mji Mkuu wa Mkoa wa Guangdong, Kusini mwa China.

(Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)

Picha