99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

China yalishauri Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuondoa vikwazo dhidi ya Sudan Kusini

(CRI Online) Machi 07, 2023

Naibu mjumbe wa China katika Umoja wa Mataifa, Balozi Dai Bing amesema, Baraza la Usalama linapaswa kuondoa mara moja vikwazo dhidi ya Sudan Kusini.

Akizungumza katika kikao maalum cha Baraza hilo kuhusu Sudan Kusini hapo jana, Balozi Dai amesema, ghasia katika maeneo mengi ya Sudan Kusini zimeongezeka, na hali ya usalama na kibinadamu inatia wasiwasi. Amesema China inatoa wito kwa pande zote husika kuacha mara moja mapambano na kutatua tofauti zilizopo kwa njia ya mazungumzo na kuongeza kuwa, vikwazo vilivyowekwa na Baraza hilo vimepunguza uwezo wa serikali ya Sudan Kusini kulinda raia.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha