99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Russia yaishutumu Marekani kwa kujaribu kuharibu uhusiano kati ya Russia na Afrika

(CRI Online) Februari 27, 2023
Russia yaishutumu Marekani kwa kujaribu kuharibu uhusiano kati ya Russia na Afrika

Naibu waziri wa mambo ya nje wa Russia Mikhail Bogdanov amesema Marekani na washirika wake wanafanya kampeni isiyo na kifani ya kuitenganisha Russia katika mambo ya siasa na uchumi, ikiwemo kujaribu kuharibu mkutano wa pili wa wakuu wa Russia na nchi za Afrika unaotarajiwa kufanyika St. Petersburg mwezi Julai.

Bw. Bogdanov amesema tangu mgogoro kati ya Russia na Ukraine uanze, nchi za magharibi zimetoa shinikizo kubwa kwa nchi za Afrika kwa njia kama kuweka vikwazo, kusimamisha misaada ya kifedha na kibinadamu, ili kuharibu uhusiano kati ya Russia na Afrika.

(Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)

Picha