99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Waziri wa mambo ya ndani wa Ukraine afariki katika ajali ya helikopta

(CRI Online) Januari 19, 2023

Helikopta ilianguka karibu na mji wa Kiev Jumatano asubuhi, na kusababisha vifo vya takriban watu 16, akiwemo Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ukraine Denys Monastyrsky.

Idara ya Huduma ya Dharura ya Taifa ya Ukraine imesema ajali hiyo iliyotokea katika mji wa Brovary katika vitongoji vya Kiev, pia ilisababisha kifo cha naibu wa Monastyrsky, Yevhen Yenin na wengine 30 kujeruhiwa.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha