99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

China yaitaka Marekani kutazama uhusiano wa pande hizo mbili kwa mantiki sahihi

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 12, 2023

BEIJING – China imeitaka Marekani kuitazama China na uhusiano kati ya China na Marekani kutokana na hali halisi na kwa kufaa, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Wang Wenbin amesema Jumatano.

Wang aliyasema hayo kwenye mkutano na wanahabari alipotoa maoni kuhusu Baraza la Wawakilishi la Marekani kuunda kamati maalumu ya Bunge inayoilenga China.

Tunatumai wanasiasa husika wa Marekani wataitazama China na uhusiano kati ya China na Marekani kutokana na hali halisi na kwa maono ya kimantiki, kuendelea kuzingatia zaidi maslahi binafsi ya Marekani na maslahi ya pamoja ya nchi hizo mbili, ili kuelekea upande mmoja pamoja na China na kuhimiza maendeleo ya uhusiano kati ya nchi hizo mbili kwa msingi wa kuheshimiana, kuishi pamoja kwa amani na ushirikiano wa kunufaishana kwa pande zote.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha