99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Rais wa Russia aliamuru jeshi kusitisha vita kwa siku moja na nusu wakati wa sikukuu ya Krismasi ya Waorthodox

(CRI Online) Januari 06, 2023

Picha ikionesha majengo yanayoharibika huko Kiev, Ukraine, Desemba 31, 2022. Picha inatoka Shirika la Habari la China Xinhua.

Rais wa Russia Vladimir Putin ameliamuru jeshi la nchi hiyo kusitisha vita na Ukraine kuanzia saa sita usiku wa tarehe 6 kwa saa za Russia hadi saa sita usiku wa tarehe 7, ili kupisha Sikukuu ya Krismasi kwa watu wa dhehebu la Orthodox.

Rais Putin amesema hatua hiyo inafuatia pendekezo lililotolewa na uongozi wa dhehebu hilo nchini Russia. Pia rais Putin ametoa wito kwa Ukraine kusitisha vita ili kuwapa waumini fursa ya kufanya shughuli za kidini wakati wa kipindi cha Krismasi ya Waorthodox.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha