99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Uchumi wa Kenya wakadiriwa kukua kwa asilimia 5.8 kwa mwaka huu

(CRI Online) Desemba 22, 2022

Uchumi wa Kenya unatarajiwa kukua kwa asilimia 5.8 kwa mwaka huu, ikiwa ni kukua kwa kupungua kutoka asilimia 7.5 ya Mwaka 2021.

Ripoti iliyotolewa na Taasisi ya Kenya ya Utafiti na Uchambuzi wa Sera ya Umma (KIPPRA) inasema ukuaji huo utasaidiwa na kurejea kwa shughuli za ununuzi wa bidhaa na matarajio ya kufufuka kwa sekta zote za uchumi.

Sekta ya kilimo inakadiriwa kukua kwa asilimia 2.3 ikilinganishwa na kupungua kwa asilimia 0.2 kulikorekodiwa Mwaka 2021 kutokana na ukame unaoshuhudiwa nchini Kenya.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha