Rais wa Mongolia kufanya ziara China
(CRI Online) Novemba 23, 2022
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Hua Chunying amesema, rais Ukhnaa Khurelsukh wa Mongolia atafanya ziara ya kiserikali nchini China kuanzia tarehe 27 hadi 28, Novemba.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma