99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Umoja wa Mataifa wasema idadi ya watu wa dunia yafikia bilioni 8

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 16, 2022

(Picha inatoka Shirika la Habari la China Xinhua.)

Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, idadi ya watu wa dunia imefikia bilioni 8 tarehe 15, Novemba, 2022.

Kipindi cha “Siku ya idadi ya watu ya bilioni 8” kwenye tovuti ya Umoja wa Mataifa kinajulisha kuwa, huu ni mnara katika historia ya maendeleo ya binadamu. Kuongezeka kwa idadi ya watu wa dunia kunatokana na kuongezeka siku hadi siku kwa miaka ya kuishi kwa watu kwa sababu ya uboreshaji wa huduma ya afya ya umma, chakula bora, hali ya usafi wa binafsi na matibabu. Licha ya hayo, kiwango cha juu cha uzazi cha baadhi ya nchi pia kimehimiza ongezeko la kasi la idadi ya watu.

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alisema, huu ni wakati wa binadamu kufikiria kubeba jukumu la pamoja kwa dunia.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha