99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Barabara iliyojengwa na China yatajwa kuchangia ukuaji wa uchumi nchini Ethiopia

(CRI Online) Novemba 10, 2022

Kampuni ya Ujenzi wa Mawasiliano ya China (CCCC) imekamilisha mradi wa ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 56.5 katika eneo la Oromia, Ethiopia, mradi ambao umefadhiliwa na serikali ya Ethiopia, na pia unahusisha ujenzi wa madaraja manne.

Baada ya kukamilika kwa barabara hiyo, mazao mengi ya mashambani kwenye eneo hilo ikiwemo ngano, shayiri na matunda, yatasafirishwa kwa urahisi zaidi na kufika kwenye soko la Addis Ababa kwa ubora wa hali ya juu na kwa kiasi kikubwa.

Pia barabara hiyo inatarajiwa kuhimiza utalii katika eneo la kusini-mashariki na kuvutia watalii wengi zaidi wa ndani na nje.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha