99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Viongozi wa China na Japan watumiana salamu za kupongeza miaka 50 tangu nchi hizo zianzishe uhusiano wa kibalozi

(CRI Online) Septemba 30, 2022

Rais Xi Jinping wa China na waziri mkuu wa Japan Kishida Fumio wametumiana salamu za pongezi kufuatia miaka 50 tangu nchi hizo mbili zianzishe uhusiano wa kibalozi.

Kwenye salamu zake, rais Xi amesema katika miaka 50 iliyopita, kutokana na juhudi za pamoja za serikali na watu, China na Japan zimefikia maoni mengi ya pamoja na kuzidisha mawasiliano na ushirikiano katika sekta mbalimbali, na kuleta manufaa muhimu kwa nchi hizo mbili na wananchi wao, na pia kuhimiza amani na utulivu wa kikanda na kimataifa.

Fumio amesema Japan inapenda kushirikiana na China kuanzisha uhusiano tulivu wa kiujenzi, na kuhimiza amani na ustawi wa nchi hizo mbili, wa kikanda na wa kimataifa.

Waziri mkuu wa China Li Keqiang na Fumio pia wametumiana salamu za pongezi.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha