99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

人民網首頁

Maoni

Mtaalamu wa Ethiopia asema ushirikiano kati ya China na Afrika unaendelea licha ya changamoto mbalimbali

Mtafiti katika Taasisi ya Elimu ya Sera katika Chuo Kikuu cha Addis Ababa nchini Ethiopia, Balew Demissie amesema, ushirikiano kati ya China na Afrika umeshinda majaribu ya muda katika mazingira ya kimataifa yanayobadilika na kuzidi kusonga mbele. Akizungumza katika mahojiano na Shirika la Habari la China Xinhua siku chache kabla ya Mkutano wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika utakaofanyika wiki hii hapa Beijing, Mtafiti huyo amesema urafiki kati ya pande hizo mbili umeshuhudia mabadiliko mengi ya kihistoria pamoja na changamoto mbalimbali.

Sudan yasema FOCAC ni jukwaa muhimu kwa China na Afrika kufanya ushirikiano

Waziri wa Nishati na Petroli wa Sudan Dkt. Mohieddin Naeem Mohamed Saeed amesema, ukweli umethibitisha kuwa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) limehimiza utekelezaji wa miradi mingi muhimu ya miundombinu barani Afrika.

Mtaalamu wa uchumi wa zamani wa Benki ya Dunia aona China na Afrika ni wenzi katika njia ya kutimiza mambo ya kisasa

(Picha inatoka CRI) Mkutano wa Mwaka 2024 wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) utafanyika mjini Beijing, China kuanzia Septemba 4 hadi 6. Mtaalamu wa uchumi wa zamani katika Benki ya Dunia ambaye pia ni mshauri wa serikali ya Kenya Dkt.

Msomi wa Somalia asema FOCAC ni jukwaa muhimu zaidi kwa China na Afrika kufanya mawasiliano

(Picha inatoka CRI) Mkutano wa Viongozi wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) wa mwaka 2024 ambao ni muhimu kwa uhusiano kati ya pande hizo mbili, utafanyika kuanzia Septemba 4 hadi 6 nchini China. Akizungumzia baraza hilo, Msomi wa Somalia Bw.

Iliyopita1 2 3 Inayofuata