

Lugha Nyingine
Ukumbusho: Watu duniani kote waadhimisha miaka 80 ya ushindi wa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 31, 2025
Kumbukumbu na ukweli wa historia havitasahauliwa kutokana na kupita kwa wakati. Vinaonekana kama kioo cha kuonesha hali ya hivi sasa na kuangazia siku za baadaye.
Mwaka 2025 ni maadhimisho ya miaka 80 tangu watu walipopata ushindi katika Vita vya Watu wa China vya kupambana na Uvamizi wa Japan na Vita vya Dunia vya kupinga Ufashisti.
Katika video hii, watu kutoka sehemu mbalimbali duniani wanaeleza maoni yao kuhusu athari za vita za muda mrefu.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma