99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Semina imefanyika nchini Kenya kuangazia mabadiliko ya vyombo vya habari vinavyoendeshwa na AI

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 29, 2025

Warsha ya mafunzo yenye kauli mbiu ya “Kuongezeka kwa matumizi ya Akili Bandia (AI) na Athari zake kwa uandishi wa Habari” imefanyika Nairobi, Kenya, Agosti 26, 2025. (Xinhua/Li Yahui)

Warsha ya mafunzo yenye kauli mbiu ya “Kuongezeka kwa matumizi ya Akili Bandia (AI) na Athari zake kwa uandishi wa Habari” imefanyika Nairobi, Kenya, Agosti 26, 2025. (Xinhua/Li Yahui)

NAIROBI -- Warsha ya mafunzo ya nusu siku iliyoandaliwa na Shirika la Habari la China Xinhua Ofisi ya Kanda ya Afrika kwa kauli mbiu ya "Kuongezeka kwa matumizi ya Akili Bandia (AI) na Athari zake kwa Uandishi wa Habari" ilifanyika Jumanne huko Nairobi, Kenya.

Takriban washiriki 100, wakiwemo wahariri na waandishi wa habari kutoka zaidi ya vyombo 10 vya habari nchini Kenya na kote barani Afrika, wamehudhuria warsha hiyo.

Washiriki pia walifahamishwa historia ya Shirika la Habari la China Xinhua kupitisha Akili Bandia katika kuandaa kipindi chake kipya, kuanzia ukusanyaji wa habari hadi utafiti, uhariri na usambazaji wa habari.

Warsha ya mafunzo yenye kauli mbiu ya "Kuongezeka kwa matumizi ya Akili Bandia (AI) na Athari Zake kwa Uandishi wa Habari" imefanyika Nairobi, Kenya, Agosti 26, 2025. (Xinhua/Li Yahui)

Warsha ya mafunzo yenye kauli mbiu ya "Kuongezeka kwa matumizi ya Akili Bandia (AI) na Athari Zake kwa Uandishi wa Habari" imefanyika Nairobi, Kenya, Agosti 26, 2025. (Xinhua/Li Yahui)

Warsha ya mafunzo yenye kauli mbiu ya "Kuongezeka kwa matumizi ya Akili Bandia (AI) na Athari Zake kwa Uandishi wa Habari" imefanyika Nairobi, Kenya, Agosti 26, 2025. (Xinhua/Li Yahui)

Warsha ya mafunzo yenye kauli mbiu ya "Kuongezeka kwa matumizi ya Akili Bandia (AI) na Athari Zake kwa Uandishi wa Habari" imefanyika Nairobi, Kenya, Agosti 26, 2025. (Xinhua/Li Yahui)

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha