99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Baraza la Mawaziri la Guinea-Bissau laapishwa

(CRI Online) Agosti 12, 2025

Rais Umaro Sissoco Embalo wa Guinea-Bissau ameendesha hafla ya kuapishwa kwa awamu mpya ya Baraza la Mawaziri la nchi hiyo, litakaloongozwa na waziri mkuu Braima Camara, likiwa na mawaziri 26 na makatibu 11 wa kitaifa.

Kwenye hafla hiyo Rais Embalo ameitaka serikali mpya ishikamane, na kufanya vizuri maandalizi ya uchaguzi wa rais na wabunge utakaofanyika tarehe 23 Novemba. Aidha, ameahidi kupambana na ufisadi na uhalifu, na kuhakikisha uchaguzi unafanyika kama ulivyopangwa.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha