99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Kenya kupunguza utegemezi wa umeme unaotokana na maji ili kuimarisha uhimilivu?wa nishati

(CRI Online) Mei 29, 2025

Kampuni ya Umeme ya Kenya (KenGen) imesema inapanga kupunguza utegemezi wa umeme unaotokana na maji nchini humo ili kuimarisha uhimilivu wa nishati, kwa kuwa umeme wa aina hiyo unaweza kuathiriwa na mvua isiyotabirika.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo Peter Njenga amesema jana Jumatano kuwa uwezo wa umeme unaotokana na maji nchini Kenya unakadiriwa kuwa megawati 840, ukichukua asilimia 24 ya uzalishaji wa jumla wa umeme.

Kwenye taarifa iliyotolewa mjini Nairobi, Njenga amesema umeme huo ni chanzo imara cha nishati chenye bei nafuu zaidi, lakini pia kinaweza kuathiriwa kirahisi zaidi na mabadiliko ya tabia nchi.

Ameongeza kuwa kwa vile sasa ukame unaathiri vibaya uzalishaji, utegemezi wa mabwawa ya maji nchini humo unatathminiwa upya.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha