99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

人民網(wǎng)首頁

Habari

Marais wa China na Mali wakutana Beijing, kuinua uhusiano wa nchi hizo mbili

(Picha na Ju Peng/Xinhua) Rais Xi Jinping wa China tarehe 2 Jumatatu amekutana na Rais wa Mali Assimi Goita, ambaye yuko Beijing kuhudhuria Mkutano wa Kilele wa 2024 wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC). Viongozi hao wawili kwa pamoja wametangaza kuinua uhusiano baina ya nchi hizo mbili hadi kuwa wa ushirikiano wa kimkakati.

Marais wa China na Malawi wakutana Beijing na kufanya mazungumzo kuhusu kuinua uhusiano kati ya nchi zao

Asubuhi ya tarehe 3, Septemba, Rais Xi Jinping wa China akikutana na Rais Lazarus Chakwera wa Malawi, ambaye yuko Beijing kuhudhuria Mkutano wa kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) wa mwaka 2024. (Picha na Huang Jingwen/Xinhua) Rais Xi Jinping wa China tarehe 3 amekutana na Rais Lazarus Chakwera wa Malawi, ambaye yuko Beijing kuhudhuria Mkutano wa kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) wa mwaka 2024.

Xi akutana na mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika

Asubuhi ya tarehe 3, Septemba, rais Xi Jinping wa China akikutana na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat ambaye yuko Beijing kuhudhuria Mkutano wa Kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika 2024. (Picha na Huang Jingwen/Xinhua) Rais Xi Jinping wa China tarehe 3 amekutana na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat, ambaye yuko Beijing kuhudhuria Mkutano wa kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) wa mwaka 2024.

Xi akutana na rais wa Chad

(Picha na Zhai Jianlan/Xinhua) Rais Xi Jinping wa China tarehe 3 alikutana na Rais Mahamat Idriss Deby Itno wa Chad, ambaye yuko Beijing kuhudhuria Mkutano wa kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) wa mwaka 2024.

Iliyopita3 4 5 6 7 8 Inayofuata